Pia nyegere ni bingwa wa Kula nyoka, na hata nyoka awe mkubwa, na pia sumu kali vipi ataliwa tuu na nyegere.
Inasemekana ile sumu ya nyoka kwa nyegere ndo sawa na kilevi chake kikubwa.
Huyu mnyama nilimwona kwenye muvi ya the gods must be crazy,kitu kimoja cha ajabu kwa huyu jamaa hakati tamaa,in king' ang' anizi mwanzo mwenga labda umuue
Huyu mnyamanilimwona kwenye muvi ya the gods must be crazy,kitu kimoja cha ajabu kwa huyu jamaa hakati tamaa,in king' ang' anizi mwanzo mwenga labda umuue