PICHA NA MATUKIO MAPOKEZI- IGUNGA Dk. Kafumu

PICHA NA MATUKIO MAPOKEZI- IGUNGA Dk. Kafumu

R.B

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
6,296
Reaction score
2,578







Waendesha bajaji wakimsubiri Dk. Kafumu nje ya mji wa Igunga wakati walipowasili



Msafara wa Dk. Kafumu, ukiongozwa na pikipiki na bajaji baada ya kuwasili mjini Igunga



Dk. Kafumu akiwa na Nape wakati wa mapokezi hayo


Wazee wa Igunga wakimpongeza Dk. Kafumu kwa kurejeshewa Ubunge, alipowasili leo jimboni Igunga




Dk. Kafumu akisalimia na baadhi ya wanachama wa CCM alipowasili kwenye Ofisi ya CCM ya Wilaya ya Igunga

Dk. Kafumu na Nape wakiwapungia wananchi baada ya kuwasili Igunga


Wananchi wakimshangilia Dk. Kafumu alipowasili kwenye mkutano wa mapokezi yake uliofanyika kwenye Uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine mjini Igunga


Dk. Kafumu akiwa na Mwenyekiti wa CCM wa wilaya ya Igunga, Coasta Olomi, kwenye mkutano huo wa mapokezi



Nape akihutubia kwenye mkutano huo wa mapokezi ya Dk. Kafumu



"DC hakikisha unasimamia kwa nguvu zote ilani ya uchaguzi ya CCM hapa Igunga", Nape kimwambia mkutano Mkuu wa wilaya ya Igunga


Kila mmoja alikuwa na shauku ya kumuona Dk. Kafumu kiasi kwamba waliokosa nafasi walipanda kwenye miti kama vijana hawa.




Maelfu ya wananchji waliofurika kwenye mkutano wakishangilia
 
"Kinana" weka mbali na tembo....ccm ni wazee wakung'oa wananchi kucha na meno.ndugu wananchi tuiogope ccm ni janga la taifa.ccm no majangili ya tembo yakiongozwa na muhamiaji haramu mwenye uraia fake kinana
 
attachment.php


Hapa CDM hawajasombwa kwa malori wala kukodisha Bodaboda! Magamba mpo?!!!
 
Ila Nape hicho kitambi siyo kizuri kwa afya!! Mengine nawaachia wenyewe na sarakasi za siasa.
 
Ila jamaa ni mabingwa wa kusomba watu kwa malori toka vijijini ili kujaza umma jana nilishuhudia harakati hizo toka asb kiufupi CCM haina mvuto kwa wananchi.
 
"Kinana" weka mbali na tembo....ccm ni wazee wakung'oa wananchi kucha na meno.ndugu wananchi tuiogope ccm ni janga la taifa.ccm no majangili ya tembo yakiongozwa na muhamiaji haramu mwenye uraia fake kinana
Uko milembe day jitahidi kumalizia dawa ulizopewa.
 
Back
Top Bottom