PICHA: Mzazi anaomba msaada kwa kupotelewa na huyu mtoto wake.Tafadhari tumsaidie ndugu zangu

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,587
Mtoto huyu pichani anaitwa Linda Raymond Kombe amepotea nyumbani kwao Kinondoni Mkwajuni tar 6/05/2017 katika mazingira ya kutatanisha,yeyote atakayemuona awasiliane na wazazi wake kwa namba 0714 282527,
0654 700777.

Zawadi nono itatolewa kwa atakayefanikisha kupatikana kwake

IMG-20170509-WA0129.jpg
IMG-20170509-WA0128.jpg
 
MTOTO HUYU PICHANI ANAITWA LINDA RAYMOND KOMBE AMEPOTEA NYUMBANI KWAO KINONDONI MKWAJUNI TAR 6/05/2017 KATIKA MAZINGIRA YA KUTATANISHA,YEYOTE ATAKAYEMUONA AWASILIANE NA WAZAZI WAKE KWA NAMBA 0714 282527,
0654 700777.

ZAWADI NONO ITATOLEWA KWA ATAKAYEFANIKISHA KUPATIKANA KWAKEView attachment 506551View attachment 506552
sitaki ugomvi ila nilimwona maeneo flani Buguruni malapa yupo geto na msela mmoja wakidownload material kwa wingi na kabaridi hii
 
Mtoto huyu pichani anaitwa Linda Raymond Kombe amepotea nyumbani kwao Kinondoni Mkwajuni tar 6/05/2017 katika mazingira ya kutatanisha,yeyote atakayemuona awasiliane na wazazi wake kwa namba 0714 282527,
0654 700777.

Zawadi nono itatolewa kwa atakayefanikisha kupatikana kwake

View attachment 506551View attachment 506552
Intellegencia ya kumtafutabhuyu dogo inaweza kua nyepesi sana ..
 
Waache roho ya wivu wao wangebaniwa wangempata??!.
Hugo mzazi atakua anamtamani bintiye, nakemea kwa jina LA Yesu kwasauti ya Gwajima.
 
sitaki ugomvi ila nilimwona maeneo flani Buguruni malapa yupo geto na msela mmoja wakidownload material kwa wingi na kabaridi hii
We ulimwona huyu hayu ambae nilikuwa nae ukachanganya rangi ya nguo
IMG_5283_1024x1024.JPG
 
Mtoto huyu pichani anaitwa Linda Raymond Kombe amepotea nyumbani kwao Kinondoni Mkwajuni tar 6/05/2017 katika mazingira ya kutatanisha,yeyote atakayemuona awasiliane na wazazi wake kwa namba 0714 282527,
0654 700777.

Zawadi nono itatolewa kwa atakayefanikisha kupatikana kwake

View attachment 506551View attachment 506552
Wivu sina lakini roho inaniuma sana kwa nini apotee
 
Back
Top Bottom