Mbona hiyo mikono hawaachani sasa? Halafu kwanini Kambona alitimuliwa na Mwalimu lakini leo Chadema wanamkubalia mtoto wake uanachama kiurahisi hivyo.
Mkuu naona umeamua kuwavua nguo wote! Hahahhaha! siku nyingine utusaidie kapicha kutoka kila upande ili tujiwekee kumbukumbu!! Kweli 2015 inatafutwa kwa kila mbinu!!
Mbona hiyo mikono hawaachani sasa? Halafu kwanini Kambona alitimuliwa na Mwalimu lakini leo Chadema wanamkubalia mtoto wake uanachama kiurahisi hivyo.
Haiwezekani kuuhukumu ukoo wote kwa kosa la mtu mmoja!Mbona hiyo mikono hawaachani sasa? Halafu kwanini Kambona alitimuliwa na Mwalimu lakini leo Chadema wanamkubalia mtoto wake uanachama kiurahisi hivyo.
Binti Wa Oscar Kambona Ajiunga Na Chadema...
Mbona hiyo mikono hawaachani sasa? Halafu kwanini Kambona alitimuliwa na Mwalimu lakini leo Chadema wanamkubalia mtoto wake uanachama kiurahisi hivyo.
Mbona hiyo mikono hawaachani sasa? Halafu kwanini Kambona alitimuliwa na Mwalimu lakini leo Chadema wanamkubalia mtoto wake uanachama kiurahisi hivyo.
Watanzania tutaacha lini siasa za kushabikia majina?
Tunajenga matabaka ndani ya vyama, mtoto wa Kambona ana hadhi kubwa kuliko mtoto wa Kichwabutwa asiyetoka kwenye familia "maarufu"
Hatuoni?
Mbona hiyo mikono hawaachani sasa? Halafu kwanini Kambona alitimuliwa na Mwalimu lakini leo Chadema wanamkubalia mtoto wake uanachama kiurahisi hivyo.
Mbona hiyo mikono hawaachani sasa? Halafu kwanini Kambona alitimuliwa na Mwalimu lakini leo Chadema wanamkubalia mtoto wake uanachama kiurahisi hivyo.
Ukweli husemwa:
Siasa za watembezi kutoka bongo bana, kila kitu utapata. swaga, majigambo, mbwembwe na uchakachuaji. Ukizichungulia kwa undani, hakuna kitu chochote cha maana. Si CCM UK wala CHADEMA UK. Leo CHADEMA wanakuja na santuri nyingine mpya yenye kichwa cha habari kinachoweza hata kumfanya kichaa akapona. Kesho ni zamu ya CCM UK.
Kweli kasi ya CHADEMA UK inatisha, kama ndiyo kukutana kwenye pub za East London na kuanza kujadili mstakabali wa taifa baada ya kutandika Guinness foreign extra na Jack Daniel na hapo hapo wengine kuanza kukumbuka kama wanahitaji kuwa na tiketi yenye kitambulisho chenye nembo ya CHADEMA itakayowapa usafiri wa bure kwenye Pub za Wakenya na Wanaigeria za East London. Kweli siasa kwa sasa zimefika kwa wenyewe.
Hata hivyo, bora ninyi mnaopenda tujue kama CHADEMA UK ofisi ziko kwenye meza za Pub. CCM UK wao hata pesa za kutokea nje hawana, achilia mbali ukumbi wa mikutano. Mikutano yao inafanyika jikoni kwenye one bedroom flat.
Kwa nini tusiendelee kufanya kile ambacho tunakiweza (box na kuosha wazee wa kizungu) kuliko kujiingiza kwenye taaluma ambazo hatuna ujuzi nazo.
Watembezi wa Ulaya, ni vizuri ya Kaizari tumwachie kaizari na sisi tuendelee na ya Mussa
Mkuu nimekukubali!! Nadhani kuna haja ya kubadili namna ya kuendesha siasa zetu, tumeegemea mno kwenye siasa badala ya kufanya mapinduzi ya kweli katika sekta za elimu, kilimo pamoja na uzalisha.