Unashauriwa kunywa maji zaidi lita 2 hadi 5 kila siku ili kuepuka mawe kutengenezeka kwenye figo.
Maji ndio husafisha seli na kuondoa sumu na kemikali zinazojitengeneza mwilini kuwa mawe.
Mawe haya hutengenezeka kirahisi wasipokunywa maji ya kutosha
Chukua hatua, Okoa fedha na Maisha.