MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,996
Suala kubwa nililojifunza katika siasa za Tanzania ni kuwa na kiongozi shupavu anayesimamia kile anachokiamini na kukiamua.
Tanzania ina wanasiasa wengi wenye ujuzi mkubwa katika kuongea lakini ni zero katika kutenda.
Unamsikia mwanasiasa anakutengenezea kwa maneno bila vitendo Tanzania inayofanana na nchi zilizoendelea.
Tatizo la Tanzania sio ukosefu wa sheria bali ni usimamizi na utekelezaji wa sheria.
Wakati akitoa hotuba yake baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump alisikika akisema, "We will no longer accept politicians who are all talk and no action — constantly complaining but never doing anything about it".
Haya ndio maneno ya Rais Magufuli ambayo kwa sasa yanavyoonekana katika Matendo kwenye viunga vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika ujenzi wa Hosteli za Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Haya ni majengo 20 yenye ghorofa nne kila jengo na yana uwezo wa kuhudumia wanafunzi 4,000 wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Ikumbukwe kuwa haya majengo yameanza kujengwa mwezi Agosti 2016.
Tanzania ina wanasiasa wengi wenye ujuzi mkubwa katika kuongea lakini ni zero katika kutenda.
Unamsikia mwanasiasa anakutengenezea kwa maneno bila vitendo Tanzania inayofanana na nchi zilizoendelea.
Tatizo la Tanzania sio ukosefu wa sheria bali ni usimamizi na utekelezaji wa sheria.
Wakati akitoa hotuba yake baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump alisikika akisema, "We will no longer accept politicians who are all talk and no action — constantly complaining but never doing anything about it".
Haya ndio maneno ya Rais Magufuli ambayo kwa sasa yanavyoonekana katika Matendo kwenye viunga vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika ujenzi wa Hosteli za Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Haya ni majengo 20 yenye ghorofa nne kila jengo na yana uwezo wa kuhudumia wanafunzi 4,000 wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Ikumbukwe kuwa haya majengo yameanza kujengwa mwezi Agosti 2016.
