Kamuulize Mhe. Mulugo, maana naye ana BA ya OUT. Kwa wasiojua, OUT unaweza kusoma degree hata miaka 10. Kila term unaweza kufanya mtihani mmoja. Ukijiona uko fiti, unafanya zaidi, pepa ambayo unaona hapana unajipanga kwanza na kufanya baadae. Kuna jamaa mmoja alisoma degree ya sheria kwa miaka saba, 7. Kwa ufupi, OUT hakuna kushindwa.
By the way, mara nyingi assessment za OUT ni Course Work kupitia assignment ambazo unafanya nje wa chuo.