Picha: Maafa ya mvua kijiji Bulembo Kamachumu - Kagera

Picha: Maafa ya mvua kijiji Bulembo Kamachumu - Kagera

Mwanamwana

Platinum Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
9,604
Reaction score
22,714
Mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali imeziacha baadhi ya kaya zikiwa hazina sehemu ya kuishi baada ya nyumba zao kubomoka na kuezuliwa mapaa ya nyumba.

Mvua hiyo pia imeleta madhara makubwa baada kusababisha uharibifu mkubwa wa mazao na chakula huko mashambani.

Mvua hiyo imetokea katika kijiji cha Bulembo kata ya Kamachumu wilaya Muleba mkoani Kagera.

attachment.php

attachment.php

attachment.php

attachment.php

attachment.php
 

Attachments

  • Bukoba 1.jpg
    Bukoba 1.jpg
    111 KB · Views: 1,132
  • BUKOBA 3.JPG
    BUKOBA 3.JPG
    253.6 KB · Views: 177
  • BUKOBA 5.jpg
    BUKOBA 5.jpg
    145.8 KB · Views: 1,103
  • BUKOBA 6.jpg
    BUKOBA 6.jpg
    81.3 KB · Views: 677
  • BUOBA4.jpg
    BUOBA4.jpg
    99.3 KB · Views: 686
  • BUOBA 2.jpg
    BUOBA 2.jpg
    116.9 KB · Views: 687
Poleni wahanga wote, mkono wa Mungu u juu yenu
 
Inaelekea huu upepo ulikuwa sio wa kawaida! Poleni sana wahanga
 
Nakumbuka kuna Mkuu wa Wilaya moja mkoani Mbeya aliwahi kuwaeleza wananchi wake wanajenga vijumba dhaifu hata kuku akipiga teke vinaanguka. Kama kawaida watanganyika wakamzonga weee lakini mi naamini alikuwa sahihi sana kwa kuwapa changamoto hao watu...
 
Back
Top Bottom