Prof. Assad ni mwezeshaji resource person ana share ujuzi wake wa muda mrefu kwa manufaa ya taifa, hata akialikwa CHADEMA kutoa mhadhara ni sehemu ya kurudisha kwa jamii kama Prof. Mohamed Janabi wa MUhimbili anavyotoa elimu kwa jamii pana.
Kongole msomi Prof. Assad kwa kuwa mzalendo kurudisha kwa jamii kile alichosoma na kukifanyia kazi kwa kodi za raia wawe CCM, CHADEMA au BAKWATA n.k