Binafsi yangu naona huu uwe uzi maalumu wa kutupia picha mbalimbali wa nini kinachoendelea maeneo mbalimbali nchini haswa ya mkoa wetu pendwa wa Makonda,Dar.
Kama kuna picha,tukio lolote dondosha hapa tushare kwa pamoja,ili tuweze kujuzana.
Doh, maeneo yangu yote hayo enzi nina nguvu zangu, wasalimie sana kibamba na kwembe mkuu, ukifika serikali ya mtaa piga hata honi tu kunipa heshima yangu pale.
Doh, maeneo yangu yote hayo enzi nina nguvu zangu, wasalimie sana kibamba na kwembe mkuu, ukifika serikali ya mtaa piga hata honi tu kunipa heshima yangu pale.