PICHA: Kinachoendelea jijini Dar leo (Exclusive thread)

RtsHjcq

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2017
Posts
4,753
Reaction score
5,516
Wakuu habari,

Heri ya sikukuu kwa waislamu wenzetu wote..

Binafsi yangu naona huu uwe uzi maalumu wa kutupia picha mbalimbali wa nini kinachoendelea maeneo mbalimbali nchini haswa ya mkoa wetu pendwa wa Makonda,Dar.

Kama kuna picha,tukio lolote dondosha hapa tushare kwa pamoja,ili tuweze kujuzana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa Mombasa karibu na kwa Rugambwa watu wanaonekana na Furaha kiasi Fulani wanasherekea Eid wala siyo corona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…