chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,696
- 22,729
..Kuna Vijana wa maeneo ya Mapinga Kerege Bagamoyo wanaigiza uvaaji wa nguo kana kwamba ni JINI....then wanasimama pemben ya barabara na kuectia km wanakusimamisha, madereva wa piki piki au bajaj ata MISIBA na wanapoona hivyo huacha vyombo na kukimbia kwa kiwewe hapo hao vibaka uiba wanachotaka kuchukua na kutokomea gizani...
Hii imetokea mda si mrefu Maeneo ya bunju karibu na darajani..rafik ndie aliechukuliwa BAJAJI hv..nilikua nikitaka nitoe tahadhari kwa MTU YEYOTE atakaekutana na hali hii hawa.. na kichwani huwa wanafunga vitochi vikali mfano wa macho so ukikutana nacho usiku hasa utumiapo BAJAJ na pkpk.
NB: Imetumwa kama ilivyopokelewa.
Hii imetokea mda si mrefu Maeneo ya bunju karibu na darajani..rafik ndie aliechukuliwa BAJAJI hv..nilikua nikitaka nitoe tahadhari kwa MTU YEYOTE atakaekutana na hali hii hawa.. na kichwani huwa wanafunga vitochi vikali mfano wa macho so ukikutana nacho usiku hasa utumiapo BAJAJ na pkpk.
NB: Imetumwa kama ilivyopokelewa.