Picha: Huyu kabeba nini?

Ufisadi na umaskini upo katika kila nchi kaka. Sije ukadhani kwamba haupo katika nchi zile zilizoendelea, kwa maana vyombo vya habari na serikali za huko huyaficha tu mambo haya.
Tia bidiii kivyako na wenzako mjenge nchi yenu ili umaskini upungue. Nami najitahidi kufanya hivyo hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…