Mkuu nguvumali, hizo chupa hutumika kupimia gongo. mm sijawahi kuona chupa za bia zikitumika kupimia au kunywea gongo, pia huyo jamaa mbona kama suluwali imeshushwa chini? nawasi wasi vijana wamemwagia mchanga jichoni!
Duh!!!!HII KALI SANA,IMENIKUMBUSHA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM,HAPO MNAWAHI LECTURE ZA ASUBUHI!!!!MABIBO HOSTEL!!!!HAHAHAHAHAHA!!!SIJUI SIKU HIZI KUMEBORESHA AU MTINDO HUUHUU!!!
Hiyo ya kwanza inanikumbusha siku ya kwanza ulipotoka kijijini kwenu na malboro kuja dar kwa mara ya kwanza mwaka jana tarehe 25.12. watu ubongo walipigwa na butwaa