mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,417
- 8,401
Mimi mama Janet kipindi mwili unaingia uwanjani. Mama amenitoa chozi picha hata ukiangalia Kwa mbali mama hakuwa na nguvu hata kidogo na huku kumzungusha kutamchosha Sana. Huyu mama kaumia Sana. Nimekumbuka mke WA Mengi Jack alivyokuwa macho makavu kweli binadamu tunatofautiana.