Hakuwa waziri wa ujenzi usipotoshe umma mwaka 2000 alikua waziri wa mifugo ndo alihesabu samaki wote nikipindi cha mkapa magu kawa waziri wa miundombinu kwa kikweteMwaka 2000 yeye mwenyewe alikuwa waziri wa Ujenzi. Kwanini hakufanya iwe bilioni 10?
Swali hilo wanapashwa kujibu NSSF, siyo JPM.Hostel mpya za Chuo Kikuu zimegharimu Tsh 10 Billion
zikiwa na uwezo wa kuweka vitanda 3800. Zimejengwa 2017.
Hostel za Mabibo ziligharimu Bilioni 27 zenye uwezo wa kuweka vitanda 4000. Zilijengwa mwaka 200O.
Nini maoni yako juu ya hili?
kwahiyo wakat yeye ni waziri mwenye dhamqna ya ujenzi kulikuwa na upigaji?Hapo hakuna upigaji wala ten percent
Hostel mpya za Chuo Kikuu zimegharimu Tsh 10 Billion
zikiwa na uwezo wa kuweka vitanda 3800. Zimejengwa 2017.
Hostel za Mabibo ziligharimu Bilioni 27 zenye uwezo wa kuweka vitanda 4000. Zilijengwa mwaka 200O.
Nini maoni yako juu ya hili?
Raisi Magufuri hataki upuuzi,there is no free lunch.Hapo hakuna upigaji wala ten percent
nawewe pia usipotoshe umma! mwaka 2000 alikuwa ni naibu waziri waujenzi wakati huo waziri wa ujenzi akiwa ni Anna Abdadarah mke wa spika mstaafu Mzee msekwaHakuwa waziri wa ujenzi usipotoshe umma mwaka 2000 alikua waziri wa mifugo ndo alihesabu samaki wote nikipindi cha mkapa magu kawa waziri wa miundombinu kwa kikwete
Wizi mtupu