PICHA: CHADEMA 'wauteka' mji wa Arusha

kama ni rational person, sidhan kama unaweza kubeza juhudi hiz za M4C za chadema. ukitumia tumbo kufikir lazima MAGAMBA waku-win tu. nawapa pole hao madiwani maana utu haununuliki. hawa jamaa hata wakiomba msamaha kwa kutambaa; tuseme no no no maana hawana tofauti na Lusinde. kumbuka "Ndege wa rangi moja huruka pamoja"
 
Last edited by a moderator:
kweli chama chetu kimekuwa makini sana kwani busara zinatumika sana kingekuwa chama cha mafisadi wangeanzisha fujo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…