Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,686
- 12,012
Kwanini mnawatesa makamanda hadi muwapandishe kwenye gari la kubebea ng'ombe ?
Kwani ni lazima mjaze mkutano ?
Jeshi la polisi liingilie kati hili ili kuepusha maafa yanayoweza kutokea
CCM hii mifugo mnaipeleka mnada gani?View attachment 1567002
Kwanini mnawatesa makamanda hadi muwapandishe kwenye gari la kubebea ng'ombe ?
Kwani ni lazima mjaze mkutano ?
Jeshi la polisi liingilie kati hili ili kuepusha maafa yanayoweza kutokea
Yaani pamoja na rushwa ya show za bure bado Fuso zinahusika?CCM hii mifugo mnaipeleka mnada gani?View attachment 1567155View attachment 1567157View attachment 1567158View attachment 1567159View attachment 1567160
Hii picha ni ya wakati wa Lowassa huyu jamaa ndio anaileta hapa.
CCM imelaaniwa,damu za wahanga wao zinawalilia.Yaani pamoja na rushwa ya show za bure bado Fuso zinahusika?
Kwahiyo wakati wa Lowassa haikuwa chadema🤔? Hata ivyo hiyo picha Ni ya hivi karibuni.Hii picha ni ya wakati wa Lowassa huyu jamaa ndio anaileta hapa.