Picha: Aibu Uchaguzi wa UWT

chupi za wazito wa ccm hizi zikiwa kwenye kitchen party.....LOL..
 
Wengi viongozi wa UWT wanatumika tu kimapenzi na kutumia fedha za chama na za watanzania kwa ajiri ya kumaliza hamu za kimwili na kimaisha. Niwie radhi kama mama yako au dada yako yupo humo. Mpeeeniii rahaaaa sophiaaaa mpeni raha ...aaeeeh mpeni raha.. Siasa za kishenzi sana.
 
sasa hawa ni akina mama wa nyinyiem sasa usiombe ukutane na binti zao
 
ooh, mi nafikiri muda umefika sasa wa kuwa na jina mbadala la umoja huo,kwa kuwa sasa kumekuwa na mfumo wa vyama vingi., nashauri jumuiya hii ya wanawake Tanzania yaani (UWT) sasa litafutwe jina jingine lenye muelekeo wa CCM,. Kwakuwa jumuiya hii si ya wanawake wote wa Tanzania....
 

mbona sioni dalili ya sofia simba kuinuka kwenda kumshambulia banji,how did u know that intention?haaa haaa kuna watu kwa kuyakuza ni noma
 
USIKUTE walichukuliana mabwana .....huwezi jua...kuna kitu hapa
 
Ma.laya Wazee

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
wanaiiba taarabu haoo, si unaoona anamwambia ngoja nifunge kitenge...hapo chacha.....hapo chacha... mdundu huo...
 



Chama kikishalewa madaraka , basi ata ethics na integrity ya wajumbe huwa siyo kipaumbele.Cheki haya matendo ya hawa wajumbe. Keki ya taifa inagomaniwa kwa kila njia.
 
Wamezoea kupewa maswali kabla, hawezi maswali ya papo kwa papo ndiyo maana hata Mwenyekiti wao anakimbia midahalo. Sijui huwa hawaoni wenzao kama sasa tunavyoshudia Obama na Mitt Romney!

Ukiwa mwa CCM akili yako pia ina approach to ZERO.
 
Huyu mama wanampendea nini mbona hata kwenye campain za ccm huwa simwonagi au kazi yake haimruhusu.

muulize shy rose alivyojibiwa kuwa hawamuwezi anajua anachotumia kupata madaraka. maana nchii viongozi wanapewa madaraka lakini hawana sifa za uongozi kabisa. nasikia majority ni ndumba kwa kwenda mbele ndio inawapa madaraka ndio maana wakishapata madaraka hawonekani kitu wanafanya yaani wanakalia viti kwa kutegemea hiyo hiyo ndumba
 
Yan Shyrose nae anamnyooshea mtu kidole!! Hizo guts anazitoa wapi?? Aisee kweli mijitu ya CCM noma NO AIBU KABISA


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

Ndo maana uarabuni mwanamke haaminiwi
 
Jamani wana JF hapo ilikuwa kwenye ratiba The CCM comedy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…