MadameX
JF-Expert Member
- Dec 27, 2009
- 7,792
- 3,848
Namuuliza shemeji wa Dubai....Wema hana mumeyupi sasa?
Namuuliza shemeji wa Dubai....Wema hana mumeyupi sasa?
Bogus kaachwa dubai huku bongo watu wanakula mzigo kama kenya.Namuuliza shemeji wa Dubai....Wema hana mume
Mimi cwezi sema chochote zaidi ya kuhukum
Kwani mpaka uwe pedeshee, huyo we uza nyumba ya urithi halafu nenda mwananyamala pale kwenye pub yake weka heshima baa utampata tu.aunt huwa ananikosha sana!!! ningekuwa pedeshee nisingemwacha.
mmh kazi kweli kweli.......lohHivi huyu mtoto anatuchanganya wengi eeh!, mimi nimemuweka screen saver kwenye desk top yangu, kuna pozi moja amekaa kwenye sofa.
Kwa nini sister​?, hutaki upate wifi au?mmh kazi kweli kweli.......loh
kila mwenye kaka akosi wifi ila hapo umechemka jamani.Kwa nini sister​?, hutaki upate wifi au?
eti ndio ceo huyo ha!ha!ito ofisi yake itakuwa ni ya kupingia umbea na kucheza kama ivyo tuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiaaaaaaaaaaaaa
Mpango mzima ulitokea hivi karibuni katika arobaini ya mtoto wa dada yake Wema iliyofanyika Sinza Kwa - Remmy, jijini Dar ambapo Aunt pamoja na baadhi ya wasanii walifika kusherehekea sherehe hiyo ya kumtoa mtoto.
Wema Sepetu na Aunt Ezekiel wakikata mauno.
Awali, Wema alionekana akimtunza fedha pamoja na mikufu ya dhahabu yenye thamani kubwa na ilipoisha sherehe ya maulid ndipo mastaa hao waliwasha muziki na kuanza kulisakata rumba.
...Warembo hao wakiwa katika pozi.
Sisi tumecheza tumefurahi tu hawa waliofunga mtaa kututazama watakuwa wanataka kuona mavituzi yetu, alisema Wema.
Mwenzio ndio ananiumiza moyo dada angu, nifanyeje sasa?kila mwenye kaka akosi wifi ila hapo umechemka jamani.
yupi sasa?
Kale katoto ka​shangazi?Kale katoto ka uarabuni