Kwahiyo unataka Wateja mkuu?
hakunaga anaekataa wateja.. ila mimi kuwa mteja wa kupigwa picha ndio sina passion.. nina vijana wa kutosha.. kama una insta cheki photo studio mabibo hostel, pia nina workshop ya kuprint tshirt cheki insta inaitwa tshirt garage mabibo hostel, na pia nina studio ya kutengeneza soundtrack za bongo movies na matangazo ya redio.. so dili zote hizo nicheki... bila kusahau kuna mobile kibanda umiza pia.. tunaonesha mpira any location tutakapoalikwa.. dstv yangu na screen na projector inatembea kufata hela popote kwenye watu wengi tukialikwa tuje onesha mpira
online tv inaanza january 1 2018. na studio ya kuandaa vipindi vya tv vya watu binafsi itaanza kazi same day
kama unahitaji proffessional photographer wa event yako.. njoo pm