Fao La Kujitoa
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 396
- 966
Ni habari ya kuhuzunisha.
Phillemon Mafinga kafariki akiwa ma miska 49
Wakongwe humu mliokuwa mnafuatilia mpira miaka ya 90 mnaweza kumfaham huyu jamaa.
Alikuwa forward hatari wa timu ya taifa ya Afrika kusini Bafanabafana. Kama mnakumbuka 1996 ile Bafanabana ya mark fish mosheu, doctor khumalo iliyotwaa Afcon Mafinga alikuwepo
R.I.P
Phillemon Mafinga kafariki akiwa ma miska 49
Wakongwe humu mliokuwa mnafuatilia mpira miaka ya 90 mnaweza kumfaham huyu jamaa.
Alikuwa forward hatari wa timu ya taifa ya Afrika kusini Bafanabafana. Kama mnakumbuka 1996 ile Bafanabana ya mark fish mosheu, doctor khumalo iliyotwaa Afcon Mafinga alikuwepo
R.I.P