Habari zenu wana-JF.
Bwana Mwakibinga kupitia ukuta wake wa fesi buku ametangaza rasmi kuwa atachukua fomu ya kugombea uenyekiti BAVICHA taifa.
Ikumbukwe huyu bwana alifukuzwa chuo kikuu cha UDOM kufuatia mgomo aliouitisha 2011 akiwa rais.
Kwa maoni yangu huyu kijana anafaa.
Bwana Mwakibinga kupitia ukuta wake wa fesi buku ametangaza rasmi kuwa atachukua fomu ya kugombea uenyekiti BAVICHA taifa.
Ikumbukwe huyu bwana alifukuzwa chuo kikuu cha UDOM kufuatia mgomo aliouitisha 2011 akiwa rais.
Kwa maoni yangu huyu kijana anafaa.