Wewe itabidi upelekwe mirembe au ni wale wale au ni ile ile au mbele kwa mbele. Unajua maana ya PhD kwanza na unapataje???
Stop ua nonsense, tumechoka kuona utumbo wa vijana wasio jitambua ndiyo mnaosbabisha hata nchi kufikia hapa tulipo kwani hamjitambui hatimaye tunaburuzwa tu.