PhD kwa Mwl Christopher Mwakasege

meku7

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2015
Posts
375
Reaction score
266
Naona huu ni wakati muafaka kwa vyuo vyetu vikuu ndani ya Tanzania kumtunuku Shahada ya (Heshima) kutambua na kuuthamini mchango wa Mwl huyu katika ukombozi wa Fikra haswa katika maswala ya Uchumi na Uongozi.
 
Naona huu ni wakati muafaka kwa vyuo vyetu vikuu ndani ya Tanzania kumtunuku Shahada ya (Heshima) kutambua na kuuthamini mchango wa Mwl huyu katika ukombozi wa Fikra haswa katika maswala ya Uchumi na Uongozi.

Agree fully with you. This guy is exceptionally gifted, humble, and inspirational!!!!!
 
Tuanze na wewe unayejitambuaaa ..
Kama ungekuwa unajitambua basi ungeeleza kwa kina na kwa hoja.. siyo mipasho kaa ya Hadija kopa.. na wasiwasi na elimu yako na taalumaa yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…