kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
Mbona Mtemi? Kama unakimbizwa?
Pharmacy iko established tayari na ilikuwa inaoperate japo kwa sasa imefungwa, si kwamba tunauza na jengo hapana ninatafuta mtu atakayeweza kupaendesha maana kila kitu kiko sawa kama mtu anapaafiki ni kununua na kufungua nadhani pia nilisema kwa mwenye kuhitaji maelezo ya kina na si kwa utani basi tuwasiliane nje ya hapa kwani itakuwa vyema
kwa wale wanaohitaji kuwasiliana na kwenda kupaona wani PM
Kama nichek kwa namba hii 0786004243Pharmacy iko established tayari na ilikuwa inaoperate japo kwa sasa imefungwa, si kwamba tunauza na jengo hapana ninatafuta mtu atakayeweza kupaendesha maana kila kitu kiko sawa kama mtu anapaafiki ni kununua na kufungua nadhani pia nilisema kwa mwenye kuhitaji maelezo ya kina na si kwa utani basi tuwasiliane nje ya hapa kwani itakuwa vyema