Nguvuyabwana JF-Expert Member Joined Jun 6, 2019 Posts 203 Reaction score 494 Oct 19, 2024 #1 Wakuu habari za wakati huu!. Naomba mwenye kufahamu ni wapi naweza pata control box ya hii gari. Kuna moja nilipata kwa mtu kutoka kenya, imefungwa lakini haipigi ress kabisa.
Wakuu habari za wakati huu!. Naomba mwenye kufahamu ni wapi naweza pata control box ya hii gari. Kuna moja nilipata kwa mtu kutoka kenya, imefungwa lakini haipigi ress kabisa.
RO7 ZA MGOS JF-Expert Member Joined Sep 27, 2016 Posts 2,295 Reaction score 6,518 Oct 19, 2024 #2 Online...
Mshangazi JF-Expert Member Joined Sep 9, 2024 Posts 1,142 Reaction score 4,514 Oct 19, 2024 #3 Baba angu alikuwa na gari hiyo miaka hiyo Alikuwa analipenda sana
RO7 ZA MGOS JF-Expert Member Joined Sep 27, 2016 Posts 2,295 Reaction score 6,518 Oct 19, 2024 #4 Yaan unamiliki gar hata spare hujui wap inapatkana....JE NI YAKO KWELI????.....weka evidence if ww ndo owner..!!
Yaan unamiliki gar hata spare hujui wap inapatkana....JE NI YAKO KWELI????.....weka evidence if ww ndo owner..!!
Nguvuyabwana JF-Expert Member Joined Jun 6, 2019 Posts 203 Reaction score 494 Oct 19, 2024 Thread starter #5 RO7 ZA MGOS said: Yaan unamiliki gar hata spare hujui wap inapatkana....JE NI YAKO KWELI????.....weka evidence if ww ndo owner..!! Click to expand... Kaka mbona kama unakaza kichwa sana mkuu!. 🙄
RO7 ZA MGOS said: Yaan unamiliki gar hata spare hujui wap inapatkana....JE NI YAKO KWELI????.....weka evidence if ww ndo owner..!! Click to expand... Kaka mbona kama unakaza kichwa sana mkuu!. 🙄
FRANCIS DA DON JF-Expert Member Joined Sep 4, 2013 Posts 40,516 Reaction score 46,603 Oct 20, 2024 #6 Nguvuyabwana said: Kaka mbona kama unakaza kichwa sana mkuu!. 🙄 Click to expand... Sio anakaza kichwa, kabla ya kununua gari, uliza wapi spare zinapatikana
Nguvuyabwana said: Kaka mbona kama unakaza kichwa sana mkuu!. 🙄 Click to expand... Sio anakaza kichwa, kabla ya kununua gari, uliza wapi spare zinapatikana
gammaparticles JF-Expert Member Joined Jan 9, 2024 Posts 1,406 Reaction score 3,881 Oct 20, 2024 #7 Mshangazi said: Baba angu alikuwa na gari hiyo miaka hiyo Alikuwa analipenda sana Click to expand... ilikuwa ipi kati ya hizi
Mshangazi said: Baba angu alikuwa na gari hiyo miaka hiyo Alikuwa analipenda sana Click to expand... ilikuwa ipi kati ya hizi
Sizinga Platinum Member Joined Oct 30, 2007 Posts 9,519 Reaction score 7,287 Oct 20, 2024 #8 Dah hizi gari chenga sana, bro tafuta ela nunua ingine
innocentmark Senior Member Joined Aug 7, 2020 Posts 117 Reaction score 172 Oct 21, 2024 #9 Sizinga said: Dah hizi gari chenga sana, bro tafuta ela nunua ing Click to expand...
innocentmark Senior Member Joined Aug 7, 2020 Posts 117 Reaction score 172 Oct 21, 2024 #10 Spear hizo Gari mpaka Kenya kule bado wanaagiza Magari kutoka France