Wameteswa wengi, wamepotea wengi, kimya kimya
Sasa ni hadharani...NAPE, Lissu
Watanzania kuna haja ya kukaa Kimya tena?
Kwanza niwapongeze Watanzania kwa wingi sana wameonyesha kuguswa na tukio la nguvu na upuuzi la Kushambuliwa Lisu. Hii Imeonyesha kuwa Watanzania walikuwa wanamsikiliza Tundu Lissu.... Lissu ni Tochi ya Watanzania, kutuonyesha njia tulipo gizani....Lissu mtetezi wa wanyonge
Tuendelee kumuombea Lissu apone Haraka....Tumshukuru Mungu kwa kutenda miujiza....
Next: Kutengeneza Petition in Watanzania wasaign kuunga mkono madai ya katiba mpya na Mahakama Huru
Tudai uhuru wa kujieleza, maandamano na mikutano ya sign
We can begin with petition
Social media imejaa [HASHTAG]#prayforLissu[/HASHTAG]
Sasa ni hadharani...NAPE, Lissu
Watanzania kuna haja ya kukaa Kimya tena?
Kwanza niwapongeze Watanzania kwa wingi sana wameonyesha kuguswa na tukio la nguvu na upuuzi la Kushambuliwa Lisu. Hii Imeonyesha kuwa Watanzania walikuwa wanamsikiliza Tundu Lissu.... Lissu ni Tochi ya Watanzania, kutuonyesha njia tulipo gizani....Lissu mtetezi wa wanyonge
Tuendelee kumuombea Lissu apone Haraka....Tumshukuru Mungu kwa kutenda miujiza....
Next: Kutengeneza Petition in Watanzania wasaign kuunga mkono madai ya katiba mpya na Mahakama Huru
Tudai uhuru wa kujieleza, maandamano na mikutano ya sign
We can begin with petition
Social media imejaa [HASHTAG]#prayforLissu[/HASHTAG]