Peter Msigwa yuko star tv

Peter Msigwa yuko star tv

Watanzania hatuna muda wa kumsikiliza huyu mhuni aliyejificha kwenye kivuli cha uchungaji!
Umedumaa ndo mana huwezi kufikri vyema, Jakaya atavunja tena baraza la mawaziri sababu wala rushwa na wanakaa kwenye kiyoyozi bila kufanya kazi.Kawaambia ni kheri wangalikuwa wazururaji kama yeye kuliko ni wao kubaki ofsn.
 
Akizungumza Jana na star TV alisema mtu kujiita mtoto wa mkulima sio sifa ya kuaminiwa na kuwa rais. Maoni yako ni yapi mdau.?
 
Pinda anadhalilisha wakulima wa Tanzania waonekane ni watu masikini na wanyonge na wanaodharaulika mbele ya jamii.
Kwa kauli kama hizo za kubeza wakulima anategemea kijana wa sasa atamani kuwa mkulima?
 
Kazi Ya Kulima Ni Moja Ya Kazi Inayo Dhalaurika Kuliko Kazi Yeyote Hapa Tanzania Hata Mkulu Aliwahi Sema Kama Huwezi Siasa KALIME
HIVI WAKULIMA TUKIGOMA KUWAUZIA MAZAO YETU MTAKULA WAPI?
 
Back
Top Bottom