Pete ya ndoa imepotea

Pete ya ndoa imepotea

ndandawamalenja

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
548
Reaction score
658
Mshikaji akiwa safarini kapoteza Pete ya ndoa. Anasema aliingia chooni kujisaidia. Akaivua akaitundika kwenye bomba ili wakati wa usafi isichafuke. Sasa alipotoka akaisahau, alipokumbuka akarush msalani hakuikuta. Kitu carrat tatu za gold hata mimi ningechukua. Sasa kaniuliza utaratibu wa kuvaa nyingine siufahamu. Eti, anunue nyingine avae tu? Anunue akavalishwe tena mbele ya padri? Anunue avalishiwe chumbani tu na wife huku akitoa ahadi ya kuvumiliana mpaka kifo kiwatenganishe? Au afanyeje? Serious!!!
 
Anunue au akachongeshe, then apeleke kwa Mtumishi wa Mungu aibariki.. hakuna kilicho haribika hapo kamanda.
 
Anachohitaji zaidi ni semina kuhusu maana ya ndoa. Vitu vya kuvaa tu mwilini vinawezeje kuwa ndio ndoa yenyewe? Ina maana wasio na uwezo wa kununua pete za dhahabu hawana haki ya kuoana? Yaani kazi ipo!
 
Haa haa haa! Umenchekesha hapo eti avalishwe chumbani na wife afu atoe ahadi ya kuvumiliana loh! Cha msingi ni kumweleza wife kuwa pete imepotea wafanye utaratbu wa kutafuta nyingne na kwakuw walishaalalishwa tayari ka ni mke na mume cdhani ka kuna haja ya kurudi kwa padri after all pete ni kama pambo tu na alama kuwa ni mwanandoa! Mbna zamani vbibi na vbabu vyetu havikuwa na pete na ndoa zkawepo na wengne sikuhzi wanajivalia tu randomly so anunue tu aweke kidoleni! ila ngja waje waliopotezaga pete zao wakupe teknik zaid!
 
Mazingira ya kupoteza hiyo pete ni utata mtupu!
 

achonge nyingine, ikibidi
na wife ambadilishie kabisa
zikishatengenezwa nyingine, safari mpaka kwa padri na ma msapu
zinabarikiwa mnavishana, shughuli inaisha!!
 
Mazingira ya kupoteza hiyo pete ni utata mtupu!

mmmhh!!! Utata kweli yani mtu kwenda kun***a ndo mpaka uvue pete? Basi kazi kama wanandoa wote wangekuwa wakiingia kukata gogo wanavua pete zao
Lol!!!!
 
mmmhh!!! Utata kweli yani mtu kwenda kun***a ndo mpaka uvue pete? Basi kazi kama wanandoa wote wangekuwa wakiingia kukata gogo wanavua pete zao
Lol!!!!
Mbona hata mie huwa navua? Si nanawa na mkono wa kushoto jamani?
Nisipovua chembe za gogo si zitaigusa wakati nanawa!!!
 
Back
Top Bottom