Ningependa kujua hiyo pesa inayotolewa kwenye pesa za mkopo inatumika wapi?
kumbe hiyo ela ninapewa mimi? Aiseeee!
Ningependa kujua hiyo pesa inayotolewa kwenye pesa za mkopo inatumika wapi?
gloves,kanyera mumo,laptop,na vingne kibao sema tu nnausingz ningeendelea.
kumbe hiyo ela ninapewa mimi? Aiseeee!
mimi nipo udsm. Sasa kwanini nipewe robo yake?