Pesa si kila kitu mwanaume mashine jamani

amanda cute

JF-Expert Member
Oct 27, 2016
244
456
Kwanini siku hizi wanaume wamechukulia pesa ndiyo kila kitu kwenye mahusiano? Kuna kitu wanaume wanasahau pesa siyo kila kitu hata uwe na pesa vipi ukashindwa kumkuna mpenzio hujafanya kitu na kwa hizo pesa zako mwanamke atatoka nje na kumhonga mwanaume mwenzio ili amridhishe kitandani amkune kisawasawa.

Mwanaume mashine bhana. Sifa ya mwanaume mashine.
 

Attachments

  • VID-20170531-WA0010.mp4
    2.7 MB · Views: 106
Dah Namuonea huruma huyo jamaa kwenye video, aseeh kajiamn nn mpk kuingia chumbn kwa mke na mume, ushamba mwengine hata km vp usikubali kuufanya.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kweli JF raha sana. Mama unatudanganya ati mashine ndo kila kitu. Naona umeona utuweke maboya tu. Tangu lini mwenye mashine kubwa akajulikana kwa kupita tu karibu na mwanamke?? Jaribu kwenda bank u droo mil 2 hivi za kurudisha kesho ili akaunti isije kuwa dormant. Ukipita karibu na vijisichana vya shule tuu utasikia shikamoo nyingi sana. Pita pale na ukwadu japo hogo la jang'ombe lininginie uone ka kuna hata mmoja atakuangalia. Ingelikuwa hivyo, tusingelikuwa na hao Mafutuhi na mafataki mitaani kwetu. Fweza ndo kila kitu. Mazishi ya tajiri utailinganisha na maskini mwenye hogo??
 
Back
Top Bottom