najibu swali la pili @ kwanini wasichapishe manoti mengi watu tule bata?
kwanza benk kuu wao ndo wenye majukumu ya ku issue new currency, kwa hiyo wanaogopa kufanya hivyo kwa sababu hela itaongeza mtaani ( increasing of money suupply) na hela ikiongeza kila mtu anayo, itafanya money circulation iongeze ( mzunguko wa pesa utaongezeka) ikiwa hivyo vitu vitashuka bei ( fall in price au deflation ) hii itawaua nguvu producer..kwa hiyo tutakosa huduma sasa benk kuu wakiona hivyo itabidi watumie monetary tools ili kuitoa hela mtaani kwa kuuza hisa zake au security zozote ili hela itoke mtaani mambo yakae sawa. na hela ikiwa nyingi mtaani ndo inakuwa DEPRECIATION lakini hii sanasana ni baina ya nchi na nchi... haina thamani tena kila mtu anayo...refer zimbabwe walivyoamua kuchapisha hela zao wenyewe. kama nipo wrong mnirekebishe wachumi wezangu. ( jibu hili nimelijibu kitaalam)
ila swali la pili hela inatengenezwa wapi kwanini watengeneze NASKIA USWISS serikali inapeleka gold zinathaminishwa kwa value ya hela utakayopata then wanakuchapia mzigo unaotaka kama unataka kutoa mia tano za noti uwekewe za sarafu unawaambia hapohapo dizaini ya mkwanja wako kama unataka ikae sura yangu hapo hapo unawaambia ( HILI JIBU NI ELIMU KITAA TU SIO LA KITAALAM)