Haa aisee
Mkuu ni vizur kusoma neno la Mungu lakin kuwa makin katika kutambua lamaanisha nn.Biblia inasema fedha huleta jawabu la mambo yote.
Siku ukiipata utaamini mfalme suleimani alikuwa na hekima kuliko anko magu na Don Trump
Mhubiri 10:19
[19]Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko,
Na divai huyafurahisha maisha; Na fedha huleta jawabu la mambo yote.
hahahahaaHata ww nikipewa kuanzia milioni 10 nakukata kichwa vizuri sana tena fasta
2 Timotheo 3:1-5 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)Hatari Za Siku Za Mwisho
3 Lakini fahamu jambo hili: kwamba siku za mwisho kutakuwa na nyakati za taabu. 2 Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, watukanaji, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio na utakatifu; 3 wasio na ubinadamu, wasiopenda kusuluhishwa, wachonganishi, walafi, wakatili, wasiopenda mema; 4 wasaliti, wasiojali kitu, waliojaa majivuno, wapendao anasa badala ya kumpenda Mungu. 5 Hao ni watu ambao kwa nje wataonekana kuwa wana dini, huku wakikana nguvu ya imani yao. Jiepushe na watu wa jinsi hiyo.
I asked a wise man,
"Tell me sir,which field could
I make a great career?"
He said with a smile,
"Be a good human being,There
is a huge opportunity in this
area and very little
competition."
Biblia inasema fedha huleta jawabu la mambo yote.
Siku ukiipata utaamini mfalme suleimani alikuwa na hekima kuliko anko magu na Don Trump
Mhubiri 10:19
[19]Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko,
Na divai huyafurahisha maisha; Na fedha huleta jawabu la mambo yote.