Pesa bwana.. Acha ziitwe pesa

Pesa bwana.. Acha ziitwe pesa

Desire Dizaya

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2015
Posts
6,476
Reaction score
11,671
Pesa zimefunika hadi utu..mtu yuko tayari kuchinja binadamu mwenzie kama kuku kisa pesa..
Mtu akiamka asubuhi anawaza pesa tu... Barabarani watu kibao wanahangaika kwa mamia wanapishana.. Wauza matunda, vyakula, wengine nguo.. Madereva.. Yaani kila mmoja na kazi yake lakini wanachokitafuta kimoja tu.. PESA.
.
Pesa imefanya hadi mapenzi ya kweli yatoweke.. Sasa hv ni pesa tu..maslahi
Pesa inafanya mzee amwamkie kijana bila kupenda..
Pesa imefanya baadhi ya watu wageuke miungu watu..wanaabudiwa wakionwa watu wanatetemeka.
Leo huna ata sh kumi na njaa imekubana akija mtu na kukuwekea burungutu mbele hata akisema umlambe makalio utamlamba tu..

Mungu alishaliona hilo ndo maana akaweka taadari mapema.. Watu ingefika sasa qanaabudu pesa nayeye wangemsahau kabisa
 
Pesa zimefunika hadi utu..mtu yuko tayari kuchinja binadamu mwenzie kama kuku kisa pesa..
Mtu akiamka asubuhi anawaza pesa tu... Barabarani watu kibao wanahangaika kwa mamia wanapishana.. Wauza matunda, vyakula, wengine nguo.. Madereva.. Yaani kila mmoja na kazi yake lakini wanachokitafuta kimoja tu.. PESA.
.
Pesa imefanya hadi mapenzi ya kweli yatoweke.. Sasa hv ni pesa tu..maslahi
Pesa inafanya mzee amwamkie kijana bila kupenda..
Pesa imefanya baadhi ya watu wageuke miungu watu..wanaabudiwa wakionwa watu wanatetemeka.
Leo huna ata sh kumi na njaa imekubana akija mtu na kukuwekea burungutu mbele hata akisema umlambe makalio utamlamba tu..

Mungu alishaliona hilo ndo maana akaweka taadari mapema.. Watu ingefika sasa qanaabudu pesa nayeye wangemsahau kabisa
Taadari
Tahadhari

Habari za jumapili
 
Biblia inasema.
"Mwenye haki ataishi kwa iman"

So nasio pesa,
Sasa hapo pa kuitwa wew ni mwenye haki ndo binadamu panawashinda.
Unatakiwa usitende dhambi tenda mema na utahesabiwa kuwa una haki mbele za Mungu

Ndio hutoweza kusumbuliwa na lolote dunia hii Mungu atakua upande wako, utakula na utavaa na moyon utakua na amani kwan unaye Mungu rohon mwako.
 
Pesa zimefunika hadi utu..mtu yuko tayari kuchinja binadamu mwenzie kama kuku kisa pesa..
Mtu akiamka asubuhi anawaza pesa tu... Barabarani watu kibao wanahangaika kwa mamia wanapishana.. Wauza matunda, vyakula, wengine nguo.. Madereva.. Yaani kila mmoja na kazi yake lakini wanachokitafuta kimoja tu.. PESA.
.
Pesa imefanya hadi mapenzi ya kweli yatoweke.. Sasa hv ni pesa tu..maslahi
Pesa inafanya mzee amwamkie kijana bila kupenda..
Pesa imefanya baadhi ya watu wageuke miungu watu..wanaabudiwa wakionwa watu wanatetemeka.
Leo huna ata sh kumi na njaa imekubana akija mtu na kukuwekea burungutu mbele hata akisema umlambe makalio utamlamba tu..

Mungu alishaliona hilo ndo maana akaweka taadari mapema.. Watu ingefika sasa qanaabudu pesa nayeye wangemsahau kabisa
Viumbe dhaifu hufa mapema kuvipisha viumbe imara viendelee kuishi, whoever is fit enough survives.
 
Biblia inasema fedha huleta jawabu la mambo yote.
Siku ukiipata utaamini mfalme suleimani alikuwa na hekima kuliko anko magu na Don Trump

Mhubiri 10:19
[19]Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko,
Na divai huyafurahisha maisha; Na fedha huleta jawabu la mambo yote.
 
Haa aisee
Biblia inasema fedha huleta jawabu la mambo yote.
Siku ukiipata utaamini mfalme suleimani alikuwa na hekima kuliko anko magu na Don Trump

Mhubiri 10:19
[19]Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko,
Na divai huyafurahisha maisha; Na fedha huleta jawabu la mambo yote.
 
Ukiwa na hela uhai, Amani na Furaha ndivyo vitakavyoshindikana kununulika na pesa zako tu
Love sema utashindwa kununua uhai tu ila furaha amani unaweza kupata maana sasa hivi kitu kinachoninyima furaha hapa ni umaskini nikishakuwa na pesa si nimeshaipata?
 
I asked a wise man,
"Tell me sir,which field could
I make a great career?"

He said with a smile,
"Be a good human being,There
is a huge opportunity in this
area and very little
competition."
 
Back
Top Bottom