Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,905
- 38,560
- Thread starter
-
- #461
haiwezekani. 2017 ndio itakubali kwakoMsaada: laptop yangu ina specifications hizi; RAM 4GB, HDD 500GB, core i5 third generation... Naomba kufaham kama naweza kucheza pes 2018 vizur bila kustack?
Guys PC yangu ina hzo specifications ila person 2017 inastuck kila baada ya mech 2 yaanai inaanza slow motion za ajabu mpaka raha ya kucheza inapotea. Nisaidieni jinsi yakulitatua hili tatizo. nafanyaje?View attachment 1137675View attachment 1137676
Pc unatumia ile ile au umebadili?
Ile ile nimebadilisha housing
Ukipata time njoo ubadilishe update labda litatulia
Siwezi kupata link ya updates ama namna ya Ku-update maana niko mbali kwa sasa
setting yake ni ya Japan?Serkiro shadow die twice dah hii ni game mpya ya mwaka huu kali sana sema ngumu kinoma asee hadi inabidi nitumie cheat
engineView attachment 1146378View attachment 1146382
View attachment 1146383
yeah back in time japan hukosetting yake ni ya Japan?
napendaga sana game za design hii.
ulishushia wapi?yeah back in time japan huko
Wakuu kuna fifa 2019 pc nlipakua .. Gamepad zimejichanganya left inaenda right na right inaenda left na ile kirungu nayo inajimix nikizungusha inaenda direction tofaut.. Nini solution yake wakuu...naombeni msaada
Kama unatumia patch ya smokepatch 17 make sure umeinistall sider pack sp17Msaada jinsi ya kuweka real trophies kwenye pes 2017... yaani Epl, world cup na Makombe mengine yawe real. Nimehangaika sana wakuu
Shukrani mkuu ngoja nijaribu.Kama unatumia patch ya smokepatch 17 inistaal sider.
Then add on.
Hakikisha kwanza unatumia patch husika. Smokepatch 17 ina gb 7.7 kisha ndio unaendelea kuadd vitu vingine.Shukrani mkuu ngoja nijaribu.