Labda ni copy mkuu, halafu wapalestina / Syria wameleta zile wanaita first copy ni nzuri, tatizo hizi hata Kariakoo wanatengeneza na hivyo watu kuogopa kuvaa mikenge.Kweli vyuma vimekaza,japo bei rahisi lakini zimekudodea mpaka leo?duh pole sana
Hapana mkuu sio copy,ni original jamaa yupo sahihi kua vyuma vimekaza zimedoda maana nilishauza kabla humu humu perfumes, hizi ndo zimebakia mbili tu na nimepunguza nusu ya bei mkuu.Watu wamepunguza kununua anasa mkuu.Labda ni copy mkuu, halafu wapalestina / Syria wameleta zile wanaita first copy ni nzuri, tatizo hizi hata Kariakoo wanatengeneza na hivyo watu kuogopa kuvaa mikenge.
Hizo first copy znapatikana duka gani dar mkuu?Labda ni copy mkuu, halafu wapalestina / Syria wameleta zile wanaita first copy ni nzuri, tatizo hizi hata Kariakoo wanatengeneza na hivyo watu kuogopa kuvaa mikenge.
Una takwimu?Hiyo beyonce ningemnunulia shemeji yako tatizo vyuma.
Mkuu una takwimu?Kweli vyuma vimekaza,japo bei rahisi lakini zimekudodea mpaka leo?duh pole sana
Nimefanyaje tena mkuu? Nisome mashtaka yangu niyaone kabisa.Wewe binti,
Unayo kesi ya kujibu.