Pensheni na stahiki nyinginezo Makamu wa Rais Mstaafu na mwenza wake

Pensheni na stahiki nyinginezo Makamu wa Rais Mstaafu na mwenza wake

and 998 others

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
27,921
Reaction score
39,103
Zifahamu pensheni na stahiki nyinginezo kwa Makamu wa Rais (na mwenza) kwa mujibu wa Sheria ya Stahiki za Viongozi wa Kisiasa Wastaafu (na wenza wao) ya Mwaka 1999 kama ilivyofanyiwa MAREKEBISHO hivi karibuni (2020)

1. Pensheni ya Mwaka (utalipwa kila mwezi) sawa na asilimia 80 ya Mshahara wa Makamu wa Raisi aliyepo madarakani.

2. Posho ya kumalizia(winding up allowance) sawa na miezi 24 ya Makamu wa Rais aliyepo madarakani,

3. Hati ya kusafiria ya kidiplomasia (Diplomatic passport),

4. Bima kubwa ya afya,

5. Gari litakayohudumiwa na serikali,
6. Posho ya kila mwezi sawa na 50% ya Makamu aliyepo madarakani,
7. Ulinzi,
8. Msaidizi binafsi,
9. Katibu Muhtasi,
10. Mhudumu wa ofisi,
11. Mpishi,
12. Mfua nguo (laundryman),
13 mfanyakazi wa ndani,
14. Mfanyakazi wa bustani,
15. Dereva mmoja
16. Kutumia ukumbi wa VIP (airport)
 
Zifahamu pensheni na stahiki nyinginezo kwa Makamu wa Rais (na mwenza) kwa mujibu wa Sheria ya Stahiki za Viongozi wa Kisiasa Wastaafu (na wenza wao) ya Mwaka 1999 kama ilivyofanyiwa MAREKEBISHO hivi karibuni (2020)

1. Pensheni ya Mwaka (utalipwa kila mwezi) sawa na asilimia 80 ya Mshahara wa Makamu wa Raisi aliyepo madarakani.

2. Posho ya kumalizia(winding up allowance) sawa na miezi 24 ya Makamu wa Rais aliyepo madarakani,

3. Hati ya kusafiria ya kidiplomasia (Diplomatic passport),

4. Bima kubwa ya afya,

5. Gari litakayohudumiwa na serikali,
6. Posho ya kila mwezi sawa na 50% ya Makamu aliyepo madarakani,
7. Ulinzi,
8. Msaidizi binafsi,
9. Katibu Muhtasi,
10. Mhudumu wa ofisi,
11. Mpishi,
12. Mfua nguo (laundryman),
13 mfanyakazi wa ndani,
14. Mfanyakazi wa bustani,
15. Dereva mmoja
16. Kutumia ukumbi wa VIP (airport)
Hawa jamaa wanalamba Hela bila jasho, ndo maana WATU wanaacha vyeo vikubwa serikalini kukimbilia siasa...
 
Zifahamu pensheni na stahiki nyinginezo kwa Makamu wa Rais (na mwenza) kwa mujibu wa Sheria ya Stahiki za Viongozi wa Kisiasa Wastaafu (na wenza wao) ya Mwaka 1999 kama ilivyofanyiwa MAREKEBISHO hivi karibuni (2020)

1. Pensheni ya Mwaka (utalipwa kila mwezi) sawa na asilimia 80 ya Mshahara wa Makamu wa Raisi aliyepo madarakani.

2. Posho ya kumalizia(winding up allowance) sawa na miezi 24 ya Makamu wa Rais aliyepo madarakani,

3. Hati ya kusafiria ya kidiplomasia (Diplomatic passport),

4. Bima kubwa ya afya,

5. Gari litakayohudumiwa na serikali,
6. Posho ya kila mwezi sawa na 50% ya Makamu aliyepo madarakani,
7. Ulinzi,
8. Msaidizi binafsi,
9. Katibu Muhtasi,
10. Mhudumu wa ofisi,
11. Mpishi,
12. Mfua nguo (laundryman),
13 mfanyakazi wa ndani,
14. Mfanyakazi wa bustani,
15. Dereva mmoja
16. Kutumia ukumbi wa VIP (airport)
Huu ni uhujumu uchumi wa Nchi.
Huu Ni Mpango mkakati wa makusudi ulio endelevu wenye nia ovu ya kuendelea kuhujumu fedha za Walipakodi wa nchi hii ya Tanzania.
 
Na Salma JK amekuwa kinara wa kufanya maboresho ya stahiki za wenza wa viongozi wastaafu. Mama ana uroho wa pesa sio poa.
 
Back
Top Bottom