Pengo mfukuzeni kanisani Mizengo Pinda

Pengo mfukuzeni kanisani Mizengo Pinda

Status
Not open for further replies.

longinos

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2013
Posts
446
Reaction score
74
kwa uchungu kabisa kauli ya mizengwe punda si ya kibinadamu,na kama kardinali pengo ungewashauri mumtenge dikteta huyo wameshinndwa kuongoza sasa wanatisha na kutumia mabavu.Watu wasio na hatia wameuwawa na polosi wenu bado mnatutisha,hatutatishika na porojo zenu tutawonesha mkanda jinsi polisi wako walivyouwa mwanamke na mtoto wa miaka 7 hii nilaana ambayo hamtakwepa popote.Mizengwe una muda usiopunguwa miska 2 madarakani,tutakushitaki kwa kauli hii uliyoitoa bungeni.2016 hautakuwa pm hivyo utaturleza aliyekutuma ni nani.
 
Mkuu, inauma sana... Machozi yanabubujika simanzi zimetujaa. Viongozi wa serikali wanatudhihaki kama waliokufa ni kuku...
 
kwa uchungu kabisa kauli ya mizengwe punda si ya kibinadamu,na kama kardinali pengo ungewashauri mumtenge dikteta huyo wameshinndwa kuongoza sasa wanatisha na kutumia mabavu.Watu wasio na hatia wameuwawa na polosi wenu bado mnatutisha,hatutatishika na porojo zenu tutawonesha mkanda jinsi polisi wako walivyouwa mwanamke na mtoto wa miaka 7 hii nilaana ambayo hamtakwepa popote.Mizengwe una muda usiopunguwa miska 2 madarakani,tutakushitaki kwa kauli hii uliyoitoa bungeni.2016 hautakuwa pm hivyo utaturleza aliyekutuma ni nani.
Mkuu umeongea kwa hisia sana, hata mimi nilimsikia akisema 'tumechoka polisi wapigeni tu wamezoea', ilibidi mbunge nafikiri wa CCM aombe mwongozo na kumwambia amevunja katiba alishindwa kujitetea hadi spika akaingilia kati, nimeamini watu wanaosema machozi ya Pinda huwa ni ya kinafiki.
 
Pinda anataka apelekwe The Hague maana anashabikia mauaji tena ya watoto.
kwa uchungu kabisa kauli ya mizengwe punda si ya kibinadamu,na kama kardinali pengo ungewashauri mumtenge dikteta huyo wameshinndwa kuongoza sasa wanatisha na kutumia mabavu.Watu wasio na hatia wameuwawa na polosi wenu bado mnatutisha,hatutatishika na porojo zenu tutawonesha mkanda jinsi polisi wako walivyouwa mwanamke na mtoto wa miaka 7 hii nilaana ambayo hamtakwepa popote.Mizengwe una muda usiopunguwa miska 2 madarakani,tutakushitaki kwa kauli hii uliyoitoa bungeni.2016 hautakuwa pm hivyo utaturleza aliyekutuma ni nani.
 
yan mm nimejiuliza sana ivi hii kauli umetoka kwa waziri mkuu kweli au amelishwa maneno sema ukwel nimelia kwa uchungu sanaaaaa kama kweli huyu baba kasema ivo basi mungu amsamehe maana hajuwi atendalo.
 
Huyu Pinda alikua mtu mzuri sana wakati anaingia Uwaziri mkuu mafisadi wamemuharibu anatakiwa akatubu na mafungo ya mwezi mzima!! maaana tafsiri yake ameamrisha kuua!!
 
Hiyo kauli itamgharim,hata kama sio kiongozi uwezi toa kauli ya kijinga kiasi hicho.angalia umati huu pamoja na mabomu yote bado watu wanakusanyika kwenye kwa kuipenda chadema. uploadfromtaptalk1371737741537.jpg
 
pengo unamjua au unamsikia mkuu akipigwa kombora la madawa ya kulevya chalii.
 
Inauma sana, maneno wanayoyaongea gizani kwenye vijiwe vyao sasa wamekuwa wakiyalopoka kama yalivyo Bungeni, Bunge ambalo watanzania zaidi ya asilimia 50 wanalitazama. Watanzania wanazidi kuwaelewa viongozi wao na wanajipanga kufanya maamuzi sahihi ifikapo 2015. Damu za watanzania zinazomwagika hasa zile za watoto hazitaenda bure, zipo ardhini sasa zinawalilia.
 
uyu mzee roho yake mbaya kama sura yake, amenifanya nikiskia jina ccm naona kama ni shetan mtoa roho
 
Mnalalamika kwani hamjui alikuwa wapi kabla ya kuingia kwenye siasa?.
 
Leo kavuka mpaka na hii kauli itamgharimu ni suala la muda tu yeye na chama chake,hata kama ni kuvimbiwa na madaraka hii ni too much.
 
kwa uchungu kabisa kauli ya mizengwe punda si ya kibinadamu,na kama kardinali pengo ungewashauri mumtenge dikteta huyo wameshinndwa kuongoza sasa wanatisha na kutumia mabavu.Watu wasio na hatia wameuwawa na polosi wenu bado mnatutisha,hatutatishika na porojo zenu tutawonesha mkanda jinsi polisi wako walivyouwa mwanamke na mtoto wa miaka 7 hii nilaana ambayo hamtakwepa popote.Mizengwe una muda usiopunguwa miska 2 madarakani,tutakushitaki kwa kauli hii uliyoitoa bungeni.2016 hautakuwa pm hivyo utaturleza aliyekutuma ni nani.

Imani yangu ndogo iliyokuwa imebaki kwa baadhi ya viongozi wa CCM ilikuwa imebaki kwa Pinda. kama leo ameweza kutoa kauli ya namna hiyo basi nimeamini kwamba viongozi wa CCM hawamwamini Mungu, hukumu ya milele wala maisha baada ya kifo. Kuja kwenye makanisa ni kujipotezea muda bure.

Watu waliokusanyika kwa ajili ya mkutano wa kampeni wanauawa kwa bomu, wakikusanyika tena kwa majonzi ya kuwaaga wenzao waliouawa wanasema kuwa wanakaidi amri ya polisi. Hivi hawa polisi walikuwa wameandaa bomu la kuua na hapo hapo wameandaa amri ya kukataza watu wasikusanyike? Tangu lini watu wanaalikwa kwa ajili ya msiba na kuomba kibali cha polisi?

Pinda kama hajalogwa, alikuwa anazungumzia amri ipi ambayo wananchi walikuwa wamekaidi? Mwangosi alipouawa alikuwa akifanya kazi ya kupata habari, alikuwa amekiuka amri ipi? Dr. Ulimboka alikuwa kiongozi wa mgomo wa madaktari alikuwa amekaidi amri ipi? Hivi siku hizi mtu akikaidi amri ya polisi anahukumiwa na hao hao polisi bila kufika kwenye mahakama yoyote?

Pinda aelewe kuwa serikali imewekwa madarakani na wananchi na wananchi ndiyo wanaoweza kuiamuru itekeleze maagizo yao na siyo wananchi watekelezi upumbavu wa serikali. Wananchi wameiagiza muda mrefu kwamba iwapeleke mahakamani mafisadi, lakini serikali imekaidi amri hiyo. Huyo huyo Pinda alipobanwa kuhusu kuwafungulia mashtaka mafisadi aliwatetea kuwa kuwashtaki mafasadi kutaiyumbisha nchi.

Wananchi wameiagiza Serikali ya CCM kwamba katika uchaguzi hawapo tayari kuwachagua wale wanaogombea uongozi kupitia CCM, lakini CCM wanalazimisha kutumia rushwa na polisi kulazimisha kuingia madarakani. Wanasahau kuwa wananchi ndio wenye uamuzi wa nani awe kiongozi?

CCM kumbukeni jambo moja, hakuna dola yoyote duniani iliyowahi kushindana na raia wake( kinyume chake hakiwezekani). Ninachoona ni kuwa Pinda anafikiri kuwa wananchi hawawezi kupingana na serikali. Ni uwendawazimu kuwatisha wananchi kuwa wasishindane na serikali. Huo ni ugonjwa wa upungufu wa akili kichwani.

Madaraka ya wananchi dhidi ya serikali hayana kikomo lakini madaraka ya serikali yana kikomo. Dola zote zinazoongozwa na viongozi ambao hawajaathirika kiakili daima wamekomea pale ambapo utashi wa wananchi haukubaliani na yale yanayofanywa na serikali. Ninachoona hapa kwetu Tanzania ni kuwa serikali ipo juu ya wananchi badala ya wananchi kuwa juu ya serikali. Viongozi gani hawa hawasomi katiba ambayo imetaja wazi wazi kwamba madaraka ya serkali yanatoka kwa wananchi?

Viongozi mkome kabisa kuwatisha wananchi. Wananchi wana sauti ya mwisho juu ya uendeshaji wa nchi siyo serkali iliyopo madarakani.Nukta.
 
yani anavyotoa kauli as if ni waziri mkuu wa kudumu kumbe kasahau kuna siku za usoni ambazo nae atakuwa kama raia wengne,ni kauli ya kishetani sana isiyo na chembe ya huruma
 
Hakuna haja ya kukimbilia kwa pengo, mbona mafisadi pengo hajawatenga?

"To know the enemy is half the victory"
 
sababu CHADEMA NDIO WENYE HAKI MILIKI NA UKATOLIKI SIO!!!hadi mmefikia kuchagua nani aingie kanisani na nani asiingie. then mkiambiwa chadema ni chama cha kanisa mnabisha.

kwa uchungu kabisa kauli
ya mizengwe punda si ya kibinadamu,na kama kardinali pengo ungewashauri
mumtenge dikteta huyo wameshinndwa kuongoza sasa wanatisha na kutumia
mabavu.Watu wasio na hatia wameuwawa na polosi wenu bado
mnatutisha,hatutatishika na porojo zenu tutawonesha mkanda jinsi polisi
wako walivyouwa mwanamke na mtoto wa miaka 7 hii nilaana ambayo
hamtakwepa popote.Mizengwe una muda usiopunguwa miska 2
madarakani,tutakushitaki kwa kauli hii uliyoitoa bungeni.2016 hautakuwa
pm hivyo utaturleza aliyekutuma ni nani.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom