Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,117
Hakuna mahali popote katika dunia hii ambako siasa ilichanganywa na mpira wa miguu na kukapatikana mafanikio, ndio maana kuna uongozi wa kisiasa unaopiganiwa majukwaani kama kinyang'anyiro cha ubunge wa Kinondoni na Siha, tofauti kabisa na uchaguzi wa TFF.
Kitendo cha Karia kuwaelekeza waandishi maswali ya kumuuliza Rais wa FIFA ni usaliti uliochanganyika na ubabe wa kishamba sana, amelenga kumlinda nani?
Rais wa FIFA si mtoto mdogo na anaijua Zanzibar pengine kuliko Mzamiaji Karia, aachwe ajibu maswali yote yatakayoletwa kwake kwa kadri ya waandishi watavyoulizwa.
Inafahamika kwamba Karia ni Team Malinzi (bado sijaelewa aliponaje kwenye ule msala) sasa huku anakoenda anataka kutuletea ubabe wa Ndolanga enzi za FAT, inabidi wembe uliotumika kumnyoa Malinzi ugeuzwe kwa Karia, ili aende kuungana na chama chake kwenye siasa.
Poor Karia !
Kitendo cha Karia kuwaelekeza waandishi maswali ya kumuuliza Rais wa FIFA ni usaliti uliochanganyika na ubabe wa kishamba sana, amelenga kumlinda nani?
Rais wa FIFA si mtoto mdogo na anaijua Zanzibar pengine kuliko Mzamiaji Karia, aachwe ajibu maswali yote yatakayoletwa kwake kwa kadri ya waandishi watavyoulizwa.
Inafahamika kwamba Karia ni Team Malinzi (bado sijaelewa aliponaje kwenye ule msala) sasa huku anakoenda anataka kutuletea ubabe wa Ndolanga enzi za FAT, inabidi wembe uliotumika kumnyoa Malinzi ugeuzwe kwa Karia, ili aende kuungana na chama chake kwenye siasa.
Poor Karia !