View attachment 65835hivi karibuni temekeView attachment 65838View attachment 65839View attachment 65839sasa kagera MULEBAView attachment 65841hivi karibuni mwenge DOGO ANATIMIZA KAZI AMBAYO VIJANA WALITEGEMEA WALLAH DOGO AKIENDELEA HIVI HILI NI JEMBE SAANA TATIZO VIJANA WENGI KWENYE CHAMA CHAO WANA HILA NA UKWAMISHAJI BADALA YA KUMPA NGUVU ILA DOGO KWA KWELI ANAFAA SANA KISIASA SABABU HANA UBWANA NA YUKO TAYARI SAANA KWA KAZI HUYU DOGO LEMA,MNYIKA,MREMA,WENJE,SUGU,NI HAZINA KUBWA ZA CHAMA KWA BAADA YA SLAA,MBOWE,KOMU, NA WENZAKE KUSTAAFU
Neno mwanamapinduzi limepoteza maana sasa Heche naye ni mwanamapindunzi.
Kazi anayoifanya Zitto kwa CDM inafananishwa na matap tap ya Heche?? Dah, kweli hapo hamna chama!
Haki yako kushauri
Neno mwanamapinduzi limepoteza maana sasa Heche naye ni mwanamapindunzi.
Kazi anayoifanya Zitto kwa CDM inafananishwa na matap tap ya Heche?? Dah, kweli hapo hamna chama!
Kazi anayoifanya Zitto kwa CDM inafananishwa na matap tap ya Heche?? Dah, kweli hapo hamna chama!
Linamfaa mzazi wako.
Kazi anayoifanya Zitto kwa CDM inafananishwa na matap tap ya Heche?? Dah, kweli hapo hamna chama!
Gamba utalijua kwa ugumu wake kufikiri
Naunga mkono hoja. Heche babkubwa, ikiwezekana apewe uenyekiti kabisa...
Zito atabaki kua Zito 2 hao watoto wanajaribu kuinga nyenendo zake hamna cha Heche wala Mnyika
Mbona umeishiwa sera kiasi hiki? Kama asubuhi unachangia kwa mtindo huu,itakapofika mchana si utatukana matusi humu.
Comment with smile, epuka jazba!
Hilo ni gamba la kobe mkuu wangu.
Hajasema Zitto na Heche nani zaidi. You should read between the lines, Mtoa mada katoa hoja yenye mashiko.sijui wewe hujamuelewa wapi ili atoe ufafanuzi kwa maana namuona bado yupo humu.
Namuelewa vizuri,wazee wa lumumba!