Penda unapopendwa! Ushuhuda wangu.


haya nishauri mimi Kaunga na John
Mimi nampenda sana John, na John anampenda sana Joyce ambaye hampendi sana John (Joy anampenda sana Julius) na mimi napendwa sana na Michael ila simpendi kama ninavyompenda John
 
X's and Y's...i hate Mathematics
 
kwikwikwikwi ukome kabisa.......................pole sana siku nyingine utulizane.
 
Madamu umejifunza nakuombea kheri umpate akupendae Umpende kwa dhati.
Tunajifunza kwa makosa usijilaum sana
 
yah mkuu. Nilijutia na najutia. Nilimsaliti na nikamuumiza sana. Hata mdogo wangu alisikitika nilipomuambia nimemuacha x kwani alikuwa akimfahamu.
Ulimuumiza sana. Lkn hebu jaribu kumfuatilia tena huyo X pengine anakudanganya kua ana mtu. Kumbuka huyo ndiye aliekupenda kwa dhati na nadhani hata yeye hatopenda kama alivyokupenda wewe. Tafadhali hebu mfuatilie na utumie kila njia ili muwe pamoja. I believe anaweza kukubali sababu wewe ndiye anayekupenda na yeye anajua hilo.
 
Mbona story yako inafanana na ya demu wangu mpya aliyoniambia kuhusu her previous guy,usikute ndo X mwenyewe!
 
haya nishauri mimi Kaunga na John
Mimi nampenda sana John, na John anampenda sana Joyce ambaye hampendi sana John (Joy anampenda sana Julius) na mimi napendwa sana na Michael ila simpendi kama ninavyompenda John

kama kuna hata kahisia kadogo kwa huyo maiko ni bora ukajibanza tu. Huko mbele mambo yatajipa. Kama mlishakuwa kwenye uhusiano unajua mapungufu na strength zake hivyo ni rahisi kurekebishana.
 

ye mwenyewe anajua kuwa alinipenda na bado ananipenda ndo maana nikimuomba nikutane naye hata mazungumzo yanabadilika. Hataki kabisaaa kusikia kukutana na mimi aafu sasa hivi tuko mikoa tofauti.
 
Mbona story yako inafanana na ya demu wangu mpya aliyoniambia kuhusu her previous guy,usikute ndo X mwenyewe!

ha,ha,haa. Sijui kwani wenye maisha ya aina hii wako wengi. Kwani uko mkoa gani mkuu?(unaweza nipm if u dont mind)
 
Unaposema upende unapopendwa inamaanisha unapopendwa wewe hupapendi sasa kama ungempenda vilivyo huyo x usingzingua by the way kwan huyo x ungekua nae ungekua bill gates ama..??not every thing is meant to be niggah..achana na majuto moyo wa binadamu hauridhiki ukimrudia x things would never be the same..na still ungependa kua na y pia..so ni wewe mwenyewe kutengeneza fatcs kichwani kwamba moyo hauridhiki..!!!
 
Majitu kama nyie ndo mnaofanyaga wanawake watuone wanaume wote ni matapeli wa mapenzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…