Pedi za kufua

Elly29

Member
Joined
Feb 23, 2017
Posts
47
Reaction score
10
Habari wamama na wadada,

Nauza pedi nzuri sana za kufua. Ni nzuri sana kiafya hazina kemikali kabisa, ni pedi zinazodumu kwa muda mrefu sana, unatumia mwaka mmoja na zaidi.

Zipo 4 kwenye packet. Na packet moja ni Tsh 10,000/= Zinapatikana Dar na Arusha, kwengine kote tunatuma kwa Bus kwa uaminifu sana.

HAKUNA UTAPELI.

Mawasiliano
Arusha 0765554391.

KARIBUNI.
 
Mkuu
Tangazo Lako Ungelinogesha Kwa Picture
Ni Mtazamo Wangu Tu Pia Ushauri
Nakutakia Kila La Heri Kwenye Bidhaa Yako
 
Mkuu acha kuwaibia wadada hiyo bei,huku kanda ya ziwa tunaziuza elfu 5-8 ila bado kuna changamoto wadada wanaona kinyaa kufua damu zao elimu inahitajika kuwaelimisha,binafsi nlifanya hii biashara ila now vyuma vimekaza
 
Mkuu acha kuwaibia wadada hiyo bei,huku kanda ya ziwa tunaziuza elfu 5-8 ila bado kuna changamoto wadada wanaona kinyaa kufua damu zao elimu inahitajika kuwaelimisha,binafsi nlifanya hii biashara ila now vyuma vimekaza
Povu la nini sasa

Nawe tangaza yako bila umbea kwa wenzio

Watu wa kanda ya ziwa mna roho mbaya sana hamtaki mwingine afanikiwe/apate kama mzee wa chato kumbe ndio asili yenu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…