Pedeshee Jack Pemba atiwa mbaroni Uganda

Status
Not open for further replies.
Here’s why tycoon Jack Pemba was arrested
Big Eye / May 3, 2017





City tycoon and socialite Jack Pemba is behind bars, we have learnt.

Pemba was reportedly arrested and detained at Entebbe International airport as he tried to leave the country over the weekend.

According to online reports, he has been on the Interpol watch list for sometime now and was finally apprehended by security operatives in compliance with a court order on Sunday evening in a collaborative effort between Ugandan and Tanzanian forces.

We have further learnt that he is being investigated over his business and financial activities. This follows a tip off to the authorities that he is involved in money laundering.

Pemba, whose source of income has has raised a lot of speculation in the past, rose to fame following his extravagant display of wealth at social events. He is known for giving out wads of cash at music concerts and sports events.
 
Hivi bado hawa mapedeshee wanagawa fedha kwenye club baada ya majina yao kutajwa na wanamuziki?
 
MTU hata fremu ya kuuza nguo hana
Lakini ana hela za kumwaga.
Akamatwe tu.
 
salaaaale...duuh kwa hiyo mbwembwe zote zimeisha
 


TATIZO JACK PEMBA MSHAMBA! MATANUZI KAMA HAYO ANAYOFANYA NI YA WATU WASHAMBA WENYE ULIMBUKENI ULIOPITILIZA HIVYO NI RAHISI SANA KWA WATU KUANZA KUFUATILIA NYENDO ZAKE, HAYA KAZI KWAKE!
 
TATIZO JACK PEMBA MSHAMBA! MATANUZI KAMA HAYO ANAYOFANYA NI YA WATU WASHAMBA WENYE ULIMBUKENI ULIOPITILIZA HIVYO NI RAHISI SANA KWA WATU KUANZA KUFUATILIA NYENDO ZAKE, HAYA KAZI KWAKE!

Hata hivyo ameachwa kwa kipindi kirefu, hapo ukute kaingilia maslahi ya serikali, labda amekuwa karibu na wapinzani au kaingilia kolono la kigogo wa serikali au kapiga na hajatoa mgao kwa wahusika ambao ni influential people.
 
TATIZO JACK PEMBA MSHAMBA! MATANUZI KAMA HAYO ANAYOFANYA NI YA WATU WASHAMBA WENYE ULIMBUKENI ULIOPITILIZA HIVYO NI RAHISI SANA KWA WATU KUANZA KUFUATILIA NYENDO ZAKE, HAYA KAZI KWAKE!
Nimesema hilo hapo juu.

Jack ananisikitisha sana. Anakuwa kama mtu aliyetoka Kolomije juzi wakati kakulia Upanga.
 
Nimesema hilo hapo juu.

Jack ananisikitisha sana. Anakuwa kama mtu aliyetoka Kolomije juzi wakati kakulia Upanga.

Hivi huyu Jack Pemba ni motto wa marehemu mzee Pemba (R.I.P) ambaye pia alipata kuwa
kiongozi wa wekundu wa Msimbazi? Maana huyo mzee Pemba aliishi Upanga ila mwishoni alirudi
Malawi ambako ndiko asili yake na umauti ukamkuta huko huko Malawi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…