Wakuu ni hivi mwezi wa Tano mwisho Kila nikibinya button ya kudownload inkugoba kuendelea kwenye kupakua je ni tatizo la mda mfupi au ndio mabeberu wameamua kulinda teknolojia zao
Dah mi nilihisi labda pdf yangu ndio inazingua nikaifuta na kudownload mpya lakini wapi! Mwisho nikadhani labda simu ndio ina tatizo, kumbe ni tatizo la wengi tu! Nimechoka kbsa
Wakuu ni hivi mwezi wa Tano mwisho Kila nikibinya button ya kudownload inkugoba kuendelea kwenye kupakua je ni tatizo la mda mfupi au ndio mabeberu wameamua kulinda teknolojia zao