pccb

Patience pays, so far God has ur destiny. Hold on abit
 
Sio kweli! Uchambuzi wa maombi bado unaendelea na unategemea kukamilika January 2014. Jumla ya maombi ni 46,000, shortlist itakua 2000 tu!

2000/46,000*100=4%
 
Huyo nadhani kaenda kuhojiwa cheti cha darasa la saba kakitoa wapi wakati serikali ilisitisha kutoa vyeti vya std seven mwaka 1993 mpaka 1999 waliomaliza mwaka 2000 ndo walikua na vyeti na kuendelea wale waliotoa feki kariakoo mtanyoosha maelezo
 
Huyo nadhani kaenda kuhojiwa cheti cha darasa la saba kakitoa wapi wakati serikali ilisitisha kutoa vyeti vya std seven mwaka 1993 mpaka 1999 waliomaliza mwaka 2000 ndo walikua na vyeti na kuendelea wale waliotoa feki kariakoo mtanyoosha maelezo

...sio kweli, vyeti vinatolewa kihalali, mbona mimi nilichukua changu cha mwaka 1998, juzi tu? Serikali haijasitisha kitu kama hicho
 
Huyo nadhani kaenda kuhojiwa cheti cha darasa la saba kakitoa wapi wakati serikali ilisitisha kutoa vyeti vya std seven mwaka 1993 mpaka 1999 waliomaliza mwaka 2000 ndo walikua na vyeti na kuendelea wale waliotoa feki kariakoo mtanyoosha maelezo

You are not sick you are Pathetic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…