PCB?

PCB?

Kwa sababu wote wanataka wawe madaktari wenye digrii
 
Wadau kwanin PCB wengi wana one na wamebaki kitaa?
Competition kubwa, vyuo vichache ,kushindwa kufikia vigezo vya TCU.

Mfano

Phys-B Chem -B Bios -D huyu ana one ya nane lakini hatoweza kusoma faculty yoyote ya afya.

Mwingine ana

Phys-D, Chem-C Bios-C huyu ana two ya 10 huyu akiomba uwezo wa kuchaguliwa upo japo ana two .
 
Competition kubwa, vyuo vichache ,kushindwa kufikia vigezo vya TCU.

Mfano

Phys-B Chem -B Bios -D huyu ana one ya nane lakini hatoweza kusoma faculty yoyote ya afya.

Mwingine ana

Phys-D, Chem-C Bios-C huyu ana two ya 10 huyu akiomba uwezo wa kuchaguliwa upo japo ana two .
umesomeka mkuu
 
Kupata one PCB haukufanyi wewe usome kile unachokitaka au unachokipenda, inategemea una one ya ngap na vip kuhusu competition
Mfano kwa PCB taker walio wengi wanataka wawe madaktari na hawakumbuk kuwa hapo lazma uwe uko kwenye vigezo stahik lakn siyo kupata one tu. Mfano mtu mwenye one ya 9
Chemistry C
Physics C
Biology C
Huyu anauwezo wa kuchaguliwa bt
Mwenye
Chemistry D
Biology C
Physics B hawez pata au mwenye
Chemistry C
Physics B
Biology D pia hawez pata ingawa zote hapo n 1
 
Kupata one PCB haukufanyi wewe usome kile unachokitaka au unachokipenda, inategemea una one ya ngap na vip kuhusu competition
Mfano kwa PCB taker walio wengi wanataka wawe madaktari na hawakumbuk kuwa hapo lazma uwe uko kwenye vigezo stahik lakn siyo kupata one tu. Mfano mtu mwenye one ya 9
Chemistry C
Physics C
Biology C
Huyu anauwezo wa kuchaguliwa bt
Mwenye
Chemistry D
Biology C
Physics B hawez pata au mwenye
Chemistry C
Physics B
Biology D pia hawez pata ingawa zote hapo n 1
Chemistry na biology ndo Kigezo kikubwa kwa afya walau uwe na C hasa Kama unataka uwe Daktari
 
Chemistry na biology ndo Kigezo kikubwa kwa afya walau uwe na C hasa Kama unataka uwe Daktari
sawa sawa mkuu sahihi kabisa..

na mwenye

PHYSIC C
BIOS C
CHEMISTRY D

anaweza kusoma diploma ya afya kwa kuanzia certificate..?
 
Aanzie Certificate ili iwaje?

Vipi umemaliza shule mwaka huu?
mkuu kuna mdogo wangu kamaliza mwaka jana ana hizo credit nataka nimfanyie mpango wa afya maana kuna masomo kaharibu hayo kapass fresh ndio maaa nauliza hvyo.

kwa credit hzo anaweza kwenda afya..?
 
certificate qualification ni d kwa masomo ya pcb eng or mathematics is an advantage vigezo anavyo lakin competition inaweza mtema kwa vyuo vya goverment kwa private uhakika japo pesa ming
 
Kwa nini tulipata one PGM hatujaenda urubani


Nishawahi jiuliza swali kama hilo na swali langu linaendana kdogo na lako

Dogo hii ni Tanzania usihoji sana
 
Back
Top Bottom