PC yangu inaleta maandishi haya,tatizo nini

PC yangu inaleta maandishi haya,tatizo nini

mackie

Senior Member
Joined
Jan 26, 2017
Posts
141
Reaction score
197
Kama nilivyotangulia kusema,nina Hp hd500,Ram 4,procesor 2.6

Nimeinunua ikiwa used product nikafomart kwa kupiga window kila kitu ikawa mpya kbsaa nikaitumia kwa muda wa masaa 3 nikaizima nimeamka kila nikiwasha inaleta vitu kama hivi, nikizima na kuwasha problem inaremain the same..naomba ushauri na uelewa juu ya hili tatizo na nini cha kufanya ili niitumie vizuri...

776107a045759044c568e87d099f7b78.jpg
954e7b278294d1e5b07d95098084ca53.jpg
ff67a6c6fca688da9402339b0aab385d.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama nilivyotangulia kusema,nina Hp hd500,Ram 4,procesor 2.6

nimeinunua ikiwa used product nikafomart kwa kupiga window kila kitu ikawa mpya kbsaa nikaitumia kwa muda wa masaa 3 nikaizima nimeamka kila nikiwasha inaleta vitu kama hivi, nikizima na kuwasha problem inaremain the same..naomba ushauri na uelewa juu ya hili tatizo na nini cha kufanya ili niitumie vizuri...
776107a045759044c568e87d099f7b78.jpg
954e7b278294d1e5b07d95098084ca53.jpg
ff67a6c6fca688da9402339b0aab385d.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Briefly!!

Hapo tatizo kubwa sana ni system aiwez kuiona OS yako yoyote uloweka humo kwenye PC, so cha kufanya jarbu kama unaweza jarbu kufungua PC yako sehem ya HDD(BAADHI YA PC AINA HAJA YA KUFUNGUA YOTE SEHEM YA HDD IPO PEKE AKE UNAFUNGUA TU mfano TOSHIBA) baada ya hapo angalia labda sehem au HDD yenyewe inalegea au imechomoka labda kwa ajili ya kuidondosha au mtu kuidondosha au imelegea tu kwa sabab umesema ni USED pc uwez jua ilifunguliwa Mara ngap au aloifunga akuifunga vizur.

Baada ya hapo unaweza ukaitoa HDD na kuirudisha Tena au tatizo lolote utakalokutana nalo humo unaweza ukarudisha mrejesho, so kama tatizo ni kulegea irudishie Kisha washa Tena kama windows platform uliyoiweka bas itarudi vizur ikiwa hiyo ni PC ulioiwekea kwa Mara ya kwanza.

it's just little troubleshooting!! Hope it'll helps you! Brother

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Briefly!!

Hapo tatizo kubwa sana ni system aiwez kuiona OS yako yoyote uloweka humo kwenye PC, so cha kufanya jarbu kama unaweza jarbu kufungua PC yako sehem ya HDD(BAADHI YA PC AINA HAJA YA KUFUNGUA YOTE SEHEM YA HDD IPO PEKE AKE UNAFUNGUA TU mfano TOSHIBA) baada ya hapo angalia labda sehem au HDD yenyewe inalegea au imechomoka labda kwa ajili ya kuidondosha au mtu kuidondosha au imelegea tu kwa sabab umesema ni USED pc uwez jua ilifunguliwa Mara ngap au aloifunga akuifunga vizur.

Baada ya hapo unaweza ukaitoa HDD na kuirudisha Tena au tatizo lolote utakalokutana nalo humo unaweza ukarudisha mrejesho, so kama tatizo ni kulegea irudishie Kisha washa Tena kama windows platform uliyoiweka bas itarudi vizur ikiwa hiyo ni PC ulioiwekea kwa Mara ya kwanza.

it's just little troubleshooting!! Hope it'll helps you! Brother

Sent using Jamii Forums mobile app
thanks much..
let me do it.....i will inform you soon...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Briefly!!

Hapo tatizo kubwa sana ni system aiwez kuiona OS yako yoyote uloweka humo kwenye PC, so cha kufanya jarbu kama unaweza jarbu kufungua PC yako sehem ya HDD(BAADHI YA PC AINA HAJA YA KUFUNGUA YOTE SEHEM YA HDD IPO PEKE AKE UNAFUNGUA TU mfano TOSHIBA) baada ya hapo angalia labda sehem au HDD yenyewe inalegea au imechomoka labda kwa ajili ya kuidondosha au mtu kuidondosha au imelegea tu kwa sabab umesema ni USED pc uwez jua ilifunguliwa Mara ngap au aloifunga akuifunga vizur.

Baada ya hapo unaweza ukaitoa HDD na kuirudisha Tena au tatizo lolote utakalokutana nalo humo unaweza ukarudisha mrejesho, so kama tatizo ni kulegea irudishie Kisha washa Tena kama windows platform uliyoiweka bas itarudi vizur ikiwa hiyo ni PC ulioiwekea kwa Mara ya kwanza.

it's just little troubleshooting!! Hope it'll helps you! Brother

Sent using Jamii Forums mobile app
daaaaah..i have done as per instructions from you, unfortunatilly the problem has subsided...daaaah...you are so marvelous chif......nimeifungua sehemu ya hard disk nikairudhisha nikaikaza vizuri nilipofunga na kuiwasha ikawkaa vizuri....thanks much brother....jamiii forum ni kisima cha maarifa...am proud to interact with you brothers.....thanks much unless tatizo liwe sugu ila sidhani ...but naitumia vizuri now

Sent using Jamii Forums mobile app
 
daaaaah..i have done as per instructions from you, unfortunatilly the problem has subsided...daaaah...you are so marvelous chif......nimeifungua sehemu ya hard disk nikairudhisha nikaikaza vizuri nilipofunga na kuiwasha ikawkaa vizuri....thanks much brother....jamiii forum ni kisima cha maarifa...i proud to interact with you brothers.....thanks much unless tatizo liwe sugu ila sidhani ...but naitumia vizuri now

Sent using Jamii Forums mobile app
Cheers!!
Anytime brother

Pirate
 
daaaaah..i have done as per instructions from you, unfortunatilly the problem has subsided...daaaah...you are so marvelous chif......nimeifungua sehemu ya hard disk nikairudhisha nikaikaza vizuri nilipofunga na kuiwasha ikawkaa vizuri....thanks much brother....jamiii forum ni kisima cha maarifa...am proud to interact with you brothers.....thanks much unless tatizo liwe sugu ila sidhani ...but naitumia vizuri now

Sent using Jamii Forums mobile app
PROBLEM SOLVED
 
Briefly!!

Hapo tatizo kubwa sana ni system aiwez kuiona OS yako yoyote uloweka humo kwenye PC, so cha kufanya jarbu kama unaweza jarbu kufungua PC yako sehem ya HDD(BAADHI YA PC AINA HAJA YA KUFUNGUA YOTE SEHEM YA HDD IPO PEKE AKE UNAFUNGUA TU mfano TOSHIBA) baada ya hapo angalia labda sehem au HDD yenyewe inalegea au imechomoka labda kwa ajili ya kuidondosha au mtu kuidondosha au imelegea tu kwa sabab umesema ni USED pc uwez jua ilifunguliwa Mara ngap au aloifunga akuifunga vizur.

Baada ya hapo unaweza ukaitoa HDD na kuirudisha Tena au tatizo lolote utakalokutana nalo humo unaweza ukarudisha mrejesho, so kama tatizo ni kulegea irudishie Kisha washa Tena kama windows platform uliyoiweka bas itarudi vizur ikiwa hiyo ni PC ulioiwekea kwa Mara ya kwanza.

it's just little troubleshooting!! Hope it'll helps you! Brother

Sent using Jamii Forums mobile app
Well done!
 
Back
Top Bottom