Hivi hizi hela unafikiri tunaokota? Kifaa kimepitwa na wakati na kimechakaa namna hii umuuzie nani laki 3? Eti "PC Tablet"? Nani kakwambia ina sifa ya PC wakati inatumia ancient Android OS 4.0.4? Katoe msaada kwa kituo cha watoto yatima wachezee games maana hii ni toy tu sasa.