PSPA Pure'12 udsm
JF-Expert Member
- Jan 11, 2013
- 829
- 443
Used laptop inauzwa kwa anaeyehitaji, imetumika miezi 4 tu na ipo katika hali nzuri kabisa. Haina tatizo lolote la kiufundi, hivo kwa mnunuzi atapewa warrant ya angalau mwezi mzima incase of any technical fault.
Specifications:
1. Hard disk 320GB storage capacity
2. Ram yake ni 3GB
3. Processor ni 2.5HZ
4. Ina uwezo wa kukaa na chaji hadi masaa sita bila kuichaji
5. Nitakupa bag lake
6. Nitakupa Adopter yake pia.
Bei ni 350,000TZS, lakini maongezi kidogo yapo kwa aliye serious. Muuzaji napatikana Dar es salaam lakini unaweza kuipata popote ulipo Tanzania.
Mawasiliano: 0718 257680
Specifications:
1. Hard disk 320GB storage capacity
2. Ram yake ni 3GB
3. Processor ni 2.5HZ
4. Ina uwezo wa kukaa na chaji hadi masaa sita bila kuichaji
5. Nitakupa bag lake
6. Nitakupa Adopter yake pia.
Bei ni 350,000TZS, lakini maongezi kidogo yapo kwa aliye serious. Muuzaji napatikana Dar es salaam lakini unaweza kuipata popote ulipo Tanzania.
Mawasiliano: 0718 257680