man xule Member Joined Aug 14, 2016 Posts 27 Reaction score 11 Mar 26, 2021 #1 Msaada PC yangu imegoma kuwaka baada ya baada ya kuzima kwa power batan nifanya hivyo baada ya kuona program moja aitak ku close
Msaada PC yangu imegoma kuwaka baada ya baada ya kuzima kwa power batan nifanya hivyo baada ya kuona program moja aitak ku close
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 166,196 Reaction score 184,913 Mar 26, 2021 #2 Ngoja waje kukupa muongozo...
M Mr Gerome JF-Expert Member Joined Dec 6, 2019 Posts 356 Reaction score 312 Mar 27, 2021 #3 Je.ukichomeka adapter taa ya stand by inawaka?
man xule Member Joined Aug 14, 2016 Posts 27 Reaction score 11 Mar 30, 2021 Thread starter #4 Mr Gerome said: Je.ukichomeka adapter taa ya stand by inawaka? Click to expand... Ndio taa ya stand by inawaka
Mr Gerome said: Je.ukichomeka adapter taa ya stand by inawaka? Click to expand... Ndio taa ya stand by inawaka
Antipaka Member Joined Mar 3, 2020 Posts 80 Reaction score 63 Mar 30, 2021 #5 Msaada kidogo visa card yangu naona ai withdrew ila uni deposit INA kubal xhida itakua nn jaman
Roho yangu mbaya Senior Member Joined Mar 22, 2021 Posts 168 Reaction score 297 Mar 30, 2021 #6 Tupa..!!
Mpinzire JF-Expert Member Joined Jan 18, 2013 Posts 7,826 Reaction score 14,018 Mar 30, 2021 #7 man xule said: Msaada PC yangu imegoma kuwaka baada ya baada ya kuzima kwa power batan nifanya hivyo baada ya kuona program moja aitak ku close Click to expand... Embu toa adapter then chomoa betri alafu uweke tena uwashe machine
man xule said: Msaada PC yangu imegoma kuwaka baada ya baada ya kuzima kwa power batan nifanya hivyo baada ya kuona program moja aitak ku close Click to expand... Embu toa adapter then chomoa betri alafu uweke tena uwashe machine
Napoleone JF-Expert Member Joined Apr 11, 2012 Posts 10,086 Reaction score 16,060 Mar 30, 2021 #8 Mwaka wa kwanza mna tabu sana