Mkuu nyerere nashukuru lkn transaction nayotaka niwe nafanya inakubali PM tu lkn option ya payza nimeipenda naona nitengeneze payza afu ntatafuta kampuni ya ku transform payza to PM
nisidanganye hadi napata PM Credits nilihaha kinyama
Soln ninayo iona ni cheap ni hiyo link niliyokupa we subiri 24hrs
Mm PM credits nilizichukua kwa jamaa angu uko philipines na yeye akuwa na amount nyingi hivo mchizi mwingine Nigeria alikuwa na shida ya PayPal hivo tukabadilisha